SERIKALI YATOA MALIPO YA INUA JAMII
Serikali imetoa jumla ya shilingi milioni 880,040,000 kama malipo kwa familia zilizo chini ya mpango wa Inua Jamii ambao ni mayatima na watu wengine walio na uhitaji wa hali ya juu.
Kupitia taraifa ya wizara ya jinsia na huduma za Watoto, malipo hayo ni ya mwezi wa Septemba, kila anayelangwa akiratibiwa kupokea shilingi 2,000.
Malipo hayo yameratibiwa kuanza kutolewa hii leo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 






































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































