#Local News

WANASIASA, WAFUASI WAONYWA KABUCHAI

Idara ya usalama katika eneo la Bungoma Central imetoa onyo kwa viongozi wa kisiasa na wafuasi wao dhidi ya kuzua vurugu kwenye kampeni zinazoendelea ya uchaguzi mdogo katika wadi ya Chwele-Kabuchai jinsi imekuwa ikishuhudiwa.

Akizungumza baada mkutano wa kiusalama eneo hilo, kamishna wa kaunti ya Bungoma Thomas Senkei ametoa tahadhari hiyo, akisema watakaopatikana watachukuliwa hatua za kisheria.

Wakati uo huo, afisa wa tume ya IEBC eneo hilo Henry Lumiti, amehimiza kampeni za amani.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANASIASA, WAFUASI WAONYWA KABUCHAI

WAHADHIRI WALEGEZA MSIMAMO, ILA…

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *