SERIKALI KUPUNGUZA LISHE YA MIFUGO, KAGWE
Sekta ya kilimo inatarajiwa kuimarika chini ya mpango wa serikali wa kupunguza gharama ya vyakula vya mifugo kwa lengo la kuwasaida wakulima kuongeza uzalishaji.
Waziri wa kilimo Mutahi Kagwe, amefichua mpango huo anaosema utaboresha Maisha ya wakulima.
Alikuwa akihutubu katika eneo la Manyatta kaunti ya Kiambu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 

























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































