#Local News

MWANABLOGU MAHAMANI KWA ‘KUMCHAFULIA JINA MCA

Mwanablogu Boniface Ohindo aliyekamatwa kwa tuhuma za kumchafulia jina mwakilishi wadi wa Yimbo East eneo bunge la Bondo Francis Otiato anatarajiwa kufikishwa mahakamani hii.

Afisa wa DCI eneo la Bondo Reuben Onchoka, amesema maafisa wa DCI walimkamata Ohindo baada ya mwakilishi wadi huyo kupiga ripoti akilalamikia madai ya mshukiwa kuchapisha habari potovu kuhusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye wadi hiyo.

Hata hivyo, baadhi ya Wakazi eneo hilo wametaka wawili hao kusuluhisha migogoro yao nje ya mahakama.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MWANABLOGU MAHAMANI KWA ‘KUMCHAFULIA JINA MCA

HATRICK YA LEWANDOWSKI YAWAINUA BARCA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *