#Local News

RAIS RUTO AKATAA KUJIHUSISHA NA UCHAGUZI WA TANZANIA

Rais William Ruto amechagua kutojihusisha na  uchaguzi uliokumbwa na utata nchini Tanzania ambao ulipelekea kuchaguliwa tena kwa rais Samia Suluhu huku   maandamano makali yakishuhudiwa nchini humo.

Hata hivyo ametoa maoni kwamba kama demokrasia ingedumishwa, ushindi mkubwa wa samia haungeshuhudiwa

Rais Ruto hata hivyo amewataka viongozi kukumbatia   demokrasia ili kuruhusu uwakilishi wa haki na sawa katika michakato ya uchaguzi, akisema kuwa ghasia haipaswi kuwa chaguo bora.

Imetayarishwa na Jones Koikai

RAIS RUTO AKATAA KUJIHUSISHA NA UCHAGUZI WA TANZANIA

RUTO ATETEA AMRI YA “RISASI MIGUUNI’

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *