#Local News

KESI YA MVUVI NAKURU KUENDELEA

Kesi kuhusu mauaji ya Mvuvi Brian Odhiambo aliyetoweka mapema mwaka huu katika mbuga ya wanyama ya Lake Nakuru itaendelea hii leo baada ya kurejelewa hapo jana, shahidi mmoja zaidi akiratibiwa kutoa ushahidi wake hii leo.

Kesi hiyo inawajumuisha maafisa 6 wa idara ya wanayamapori, wanaohusishwa na kutoweka kwa mvuvi huyo.

Hapo jana, mashahidi waliambia mahakama jinsi Odhiambo alichukuliwa na maafisa hao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KESI YA MVUVI NAKURU KUENDELEA

KEPSHA YAWAKWAMIA WALIMU WA JSS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *