#Local News

TUME YA EACC NA WASHIKADAU WA UCHUNGUZI WA ULANGUZI WA PESA WAKUTANA JIJINI NAIROBI

Warsha ambayo  inalenga kuimarisha ushirikiano na mikakati ya pamoja ya kukabiliana na ulanguzi wa fedha imefanyika hii leo jijini Nairobi.

Tume ya maadili na  kupambana na ufisadi hapa nchini EACC, pamoja na washikadau wengine kutoka Afrika mashariki na kusini wa uchunguzi wa ulanguzi wa pesa wamekutana   jijini Nairobi kwenye warsha ya kanda ya kushughulikia ulanguzi wa pesa na kurejesha mali ya umma  iliyoibiwa. 

Imetayarishwa na Jones Koikai

TUME YA EACC NA WASHIKADAU WA UCHUNGUZI WA ULANGUZI WA PESA WAKUTANA JIJINI NAIROBI

KESI YA CHUKI DHIDI YA SALASYA KUENDELEA,

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *