#Local News

WAKENYA WAONYWA DHIDI YA SIASA UGENINI

Serikali imewaonya wakenya dhidi ya kujihusisha na siasa za mataifa mengine, ikisema mwenendo huo unaweza ukawa hatari.

Katika kikao cha kiteknolojia na vijana jijini Eldoret, Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi amesema kumeshuhudiwa ongezeko la wakenya wanaojipata katika hali tatanishi, wakihitaji msaada wa serikali katika mataifa ya kigeni.

Aidha, amewatahadharisha vijana dhidi ya kuishambulia serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WAONYWA DHIDI YA SIASA UGENINI

MAHAKAMA YATIA PINGU USAJILI WA POLISI

WAKENYA WAONYWA DHIDI YA SIASA UGENINI

WALIMU WAKUBALI KUINGIA SHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *