#Local News

KOMBE AREJESHWA MAMLAKANI MAGARINI 

Mgombeaji wa kiti cha ubunge katika eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi kwa tiketi ya ODM Harrison Kombe, ameibuka mshindi kwenye uchaguzi mdogo uliofanyika eneo hilo hapo jana.

Kulingana na tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC, Kombe amepata jumla ya kura 17,909, dhidi ya mshindani wake Stanley Kenga wa DCP aliyepata kura 8,907.

Kiti hicho kiliachwa wazi mapema mwaka huu baada ya mahakama kufutilia mbali ushindi wa Kombe kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2022 kutokana na wizi wa kura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KOMBE AREJESHWA MAMLAKANI MAGARINI 

SLOT ASISITIZA ATAINUSURU LIVERPOOL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *