RUTO ATASHINDA MSIPOREKEBISHA, VIJANA WAONYWA
Rais William Ruto atashinda uchaguzi mkuu ujao kwa kishindo iwapo vijana wataendelea kukosa kujitokeza kupiga kura jinsi ilivyoshuhudiwa kwenye chaguzi ndogo hapo jana.
Haya ni kwa mujibu wa washikadau katika sekta ya elimu wakiongozwa na Synthia Asienwa, wakihimiza haja ya uhamasisho kufanywa kuhusiana na umuhimu wa kushiriki uchaguzi.
Wamekuwa kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga nchini.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































