RUTO KUONGOZA JAMHURI
Rais WIlliam Ruto ameratibiwa kuliongoza taifa kwa maadhimisho ya 62 ya Jamhuri katika uwanja wa Nyayo jijini Nairobi, Msemaji wa serikali Isaac Mwaura, akiwahimiza wakenya kujitokoeza kwa wingi kuhudhuria maadhimisho hayo ya kila mwaka.
Haya yanajiri huku muungano wa upinzani ukiikosoa serikali kwa kile walichotaja kama kurejesha nyuma hatua zilizopigwa kuhusiana na uongozi bora.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 



































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































