#Local News

WANAFUNZI WA GREDI YA 9 KUJIUNGA NA SENIOR SCHOOL

Waziri wa elimu Julius Ogamba ametoa hakikisho kuwa watahiniwa wote milioni 1.1 wa KJSEA mwaka huu watajiunga na sekondari kuu yaani senior school ambapo watawekwa katika mojawapo ya mikondo 3 ambayo ni Sanaa na michezo, sayansi za kijamii na Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati maarufu kama STEM.

Kulingana na Ogamba, masomo kama vile sayansi jumuishi ama integrated sayansi na social studies, CRE na Kiswahili ndyio yalitia fora kwenye tathmini hiyo ya KJSEA.

Asilimia 75 ya watahiniwa iliafikia alama ya kukaribia matarajio.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI WA GREDI YA 9 KUJIUNGA NA SENIOR SCHOOL

WATAHINIWA WA KJSEA KUWEKWA MIKONDO 3

WANAFUNZI WA GREDI YA 9 KUJIUNGA NA SENIOR SCHOOL

TSC: WALIMU TAYARI KWA MPITO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *