#Local News

HALI YA GRADE 10

Asilimia 92 ya wanafunzi waliofanya mtihani wa gredi ya 9 mwaka jana wamejiunga na gredi ya 10 katika shule za sekondari ya juu, na juhudi zimeimarishwa ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wote wameripoti shuleni.

Haya ni kulingana na naibu rais Kithure Kindiki, akikariri agizo la Rais William Ruto la kuwataka wanafunzi kuripoti shuleni licha ya ukosefu wa karo.

Naye Waziri wa elimu Julius Ogamba, amewaonya walimu wakuu dhidi ya kukiuka agizo la Rais Ruto.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Introduction

HALI YA GRADE 10

SERIKALI YACHUNGUZA VURUGU NYERI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *