#Local News

JOHO AWE NAIBU WA RUTO, VIONGOZI WA PWANI

Viongozi wanaoegemea chama cha ODM kutoka ukanda wa pwani wamependekeza rais William Ruto kumteua Waziri wa madini Ali Hassan Joho kuwa mgombea mwenza wake kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Wakiongozwa na naibu kinara wa chama hicho na gavana wa Mombasa Alduswamad Nassir, viongozi hao wamesema kwamba Joho ana tajriba ya kutosha kuwa naibu rais.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JOHO AWE NAIBU WA RUTO, VIONGOZI WA PWANI

“GUMBOOTS” ZA MAUTI TONGAREN

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *