#Local News

VIONGOZI TRANS NZOIA WALALAMIKIA ‘MSAKO WA KISIASA’

Huku kikosi maalum cha polisi kikiendeleza msako dhidi ya magenge ya wahalifu katika kaunti ya Trans Nzoia, imeibuka kwamba operesheni hiyo inakiuka haki za kimsingi za raia.

Akizungumza na wanahabari baada ya maafisa wake wakuu 2 kukamatwa kwa kuhusishwa na uhalifu, gavana wa kaunti hiyo George Natembea, amesema operesheni hiyo imekiuka sheria na kuwalenga wakosoaji wa serikali.

Hata hivyo, naibu inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat ametetea msako huo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *