#Football #Sports

GUARDIOLA AMTAKIA ARSENAL BAADA YA UBINGWA WA EPL

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameipongeza Arsenal pamoja na kocha Mikel Arteta baada ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu nchini uingereza

Guardiola amesema Arsenal, benchi la ufundi, wachezaji na mashabiki wanastahili ubingwa huo, akisisitiza kuwa wamefanya kazi kubwa msimu huu.

Ameongeza kuwa ushindi wao ni wa haki kutokana na kiwango walichoonyesha katika msimu mzima.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *