#Local News

KINDIKI ATAKA UWIANO KATI YA GHARAMA YA MAFUTA NA MAENDELEO

Naibu Rais Kithure Kindiki amewataka Wakenya kuwa na uwiano kati ya matakwa ya kupunguzwa kwa bei ya mafuta na mahitaji ya kuendesha serikali pamoja na kufadhili miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika hafla tofauti jijini Nairobi na Machakos Kindiki amesema serikali inaendelea kufanya kazi usiku na mchana kudhibiti gharama ya bidhaa hiyo muhimu.

Kauli hiyo imejiri siku moja baada ya sekta ya usafiri wa umma kusitisha mgomo wake wa siku mbili uliokuwa umeathiri huduma nchini.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

KINDIKI ATAKA UWIANO KATI YA GHARAMA YA MAFUTA NA MAENDELEO

RUTO KUREJEA NCHINI LEO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *