#Local News

RUTO KUANZA ZIARA YA MAENDELEO MKOA WA PWANI

Rais William Ruto amewasili nchini na anatarajiwa kuanza ziara ya siku tano ya maendeleo katika mkoa wa Pwani, akitembelea kaunti sita.

Katika ziara hiyo, serikali inasema Rais atazindua na kukagua miradi mbalimbali pamoja na kukabidhi miradi iliyokamilika kwa wananchi.

Huko Lamu, Ruto anatarajiwa kuzindua soko la samaki la Kizingitini, pamoja na miradi mingine ikiwemo barabara na mradi wa stima katika kaunti za kwale na kilifi.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *