#Local News

RUTO KUREJEA NCHINI LEO

Rais William Ruto anatarajiwa kurejea nchini hii leo huku kukiwa na shinikizo kubwa kutoka kwa wakenya kuhusu swala ya bei ya Mafuta.

Ruto anatarajiwa kufanya mazungumzo na washikadau katika sekta ya uchukuzi kuhusiana na kupunguza bei ya mafuta baada ya sekta hiyo kusitisha mgomo kwa wiki moja ili kufungua njia ya mazungumzo.

Wakenya sasa wanasubiri kusikiza kauli ya Rais kuhusu swala hilo wakati atakapotua kutoka nchini Kazakhstan.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *