#Football #Sports

UEFA YAPANGA MFUMO MPYA WA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2030

UEFA imetangaza mfumo mpya wa kufuzu kwa kombe la dunia mwaka 2030 utakaoiga mfumo unaotumika katika UEFA Champions League.

Mfumo huo utakuwa na ngazi mbili ambapo mataifa 36 bora yatawekwa katika Ligi ya Kwanza na kugawanywa kwenye makundi matatu yenye timu 12 kila moja.

Timu zitacheza mechi sita dhidi ya wapinzani tofauti, huku mataifa yatakayomaliza juu yakifuzu moja kwa moja kwa Kombe la Dunia na nafasi zilizobaki kuamuliwa kupitia mchujo.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *