#Local News

KESI DHIDI YA  GACHAGUA INAENDELEA KUSIKIZWA MILIMANI

 Kesi ya kubanduliwa mamlakani kwa aliyekuwa Naibu wa Rais Rigadhi Gachagua inaendelea kusikizwa  sasa hivi katika mahaka ya milimani jijini Nairobi.

Upande wa mashtaka ukijibu maswali yaliyoibuliwa na mawakili wa Gachagua huku bunge la kitaifa, seneti na upande wa naibu rais profesa kithure kindiki ukiwasilisha ushaidi wao kuwa kubanduliwa kwa Gachagua  kulifuata haki.

Imetayarishwa na Hilda Ajema

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *