#Local News

AFISA WA POLISI BUNGENI ANACHUNGUZWA KWA KUITISHA HONGO YA SHILINGI ELFU 40

Afisa wa polisi katika Kituo cha Polisi cha Bunge jijini Nairobi anakabiliwa na mashtaka ya ufisadi kwa kujaribu kupora shilingi elfu 40,000 kutoka kwa mshukiwa aliyekuwa na kesi ambayo imechukua muda katika mahakama hiyo bila kutatuliwa
Kulingana na Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC), mshukiwa amekamatwa na polisi na faili yake ikatumwa kwa mKurugenzi wa Mashtaka ya Umma (DPP) ili kuidhinisha kufunguliwa mashtaka.

Hata hivyo, DPP ameagiza mshukiwa aachiliwe na kesi hiyo kutatuliwa nje ya mahakama

Imetayarishwa na Janice Marete

AFISA WA POLISI BUNGENI ANACHUNGUZWA KWA KUITISHA HONGO YA SHILINGI ELFU 40

NYOTA WA TOTTENHAM APORWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *