#Football #Sports GOODISON PARK KUWAHUDUMIA WACHEZAJI WA EVERTON WANAWAKE Uwanja wa Goodison Park utakuwa makao mapya ya timu ya wanawake ya Everton kuanzia msimu ujao, baada ya timu ya Manasseh Wekesa / 1 hour Comment (0) (5)
#Football #Sports KOCHA WA TUSKER AFUTILIA MBALI SABABU YA KUKOSEKANA KWA OGAM Kocha wa Tusker FC Charles Okere amesema kuwa kutokuwepo kwa mfungaji wao nyota Ryan Ogam si sababu ya ukame wa Manasseh Wekesa / 1 hour Comment (0) (5)
#Rugby #Sports MCHEZAJI BARNABAS OWUOR KUAGANA NA STRATHMORE LEOS Barnabas Owuor, mchezaji wa Strathmore Leos, ametangaza kuwa msimu huu utakuwa wa mwisho kwake kuichezea timu hiyo baada ya kuhudumu Manasseh Wekesa / 1 hour Comment (0) (7)
#Football #Sports TAIWO AWONIYI AFANYIWA UPASUAJI WA DHARURA Mshambulizi wa Nottingham Forest Taiwo Awoniyi amefanyiwa upasuaji wa dharura baada ya kuumia tumboni alipogongana na mlingoti wakati wa mechi Manasseh Wekesa / 1 day Comment (0) (14)
#Football #Sports OKWEMBA ATAKA UWEKEZAJI KWA CHIPUKIZI KUINUA SOKA Kiungo wa zamani wa AFC Leopards, Charles Okwemba, anawataka wadau wa soka nchini kuwekeza kwa wachezaji chipukizi ili kuwawezesha kuwa Manasseh Wekesa / 1 day Comment (0) (12)
#Rugby #Sports SENENDE YASHANGAZA NA KUTWAA TAJI LA U19 BLACK ROCK Timu ya wavulana walio na umri wa chini ya miaka 19 kutoka Shule ya Upili ya Senende iliibuka mabingwa wa Manasseh Wekesa / 1 day Comment (0) (10)
#Football #Sports ARSENAL YAKARIBIA KUFUZU LIGI YA MABINGWA BAADA YA SARE YA 2-2 NA LIVERPOOL Arsenal walikubaliana na Liverpool kwa sare ya 2-2 baada ya kurudi kutoka nyuma kwa mabao mawili, wakijikatia tiketi ya kufuzu Manasseh Wekesa / 2 days Comment (0) (9)
#Rugby #Sports KINALE GIRLS YAIBUKA MABINGWA WA BLACK ROCK 7S Kinale Girls yaibuka mabingwa wa Western Black Rock 7s kwa ushindi wa 14-7 dhidi ya St. Joseph Girls-Kitale ‘Joga’ Kinale Manasseh Wekesa / 2 days Comment (0) (21)
#Football #Sports APS BOMET YAPANDA HADI NAFASI YA PILI APS Bomet imepanda hadi nafasi ya pili kwenye Ligi ya Taifa Daraja la Kwanza baada ya kuichapa Vihiga United 2-0, Manasseh Wekesa / 2 days Comment (0) (13)
#Football #Sports DEMBELE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA LIGUE 1 BAADA YA KUIBUKA KINARA PSG Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain Ousmane Dembele ametajwa kuwa mchezaji bora wa Ligue 1 msimu huu, baada ya kuiongoza PSG kutwaa Manasseh Wekesa / 2 days Comment (0) (13)