#Local News

MAPEPO YA NHIF YAIHANGAISHA SHA

Changamoto za ufisadi zilizokuwa zikiikabili bima ya zamani ya afya NHIF zimeendelea kuikabili bima mpya ya SHA, serikali ikilaghaiwa takribani shilingi milioni 100 kupitia ulaghai unaoendelezwa kupitia ushirikiano wa hospitali na wagonjwa.

Kulingana na ripoti, hospitali zimekuwa zikighushi maelezo ya wagonjwa na kudai malipo mara mbili, waziri wa afya Aden Duale akitangaza kufunga zaidi ya hospitali 35 ambazo zimetajwa kwenye ripoti hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAPEPO YA NHIF YAIHANGAISHA SHA

MATIANG’I AHIMIZA MAZUNGUMZO

MAPEPO YA NHIF YAIHANGAISHA SHA

MWAMKO MPYA WA AFC LEOPARDS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *