ZIARA YA KUREJESHA USALAMA PWANI
Katika juhudi za kurejesha utulivu katika eneo la Pwani kufuatia misururu ya visa vya uvamizi wa vijana wanaojiita Panga Boys, waziri wa usalama Kipchumba Murkomen na wakuu wa usalama wanazuru kaunti 6 za powani ili kutathmimini mbinu za kuondoa magenge hayo.
Waziri huyo amefanya kikao na maafisa wa usalama jijini Mombasa, akisema ziara hiyo inalenga kuangazia masuala kadhaa ikiwemo maslahi ya walinda usalama na utumizi wa mihadarati.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































