#Local News

MGOMO WA WAUGUZI TAITA TAVETA WANUKIA

Viongozi wa vyama vya wauguzi katika kaunti ya Taita Taveta wametangaza mgomo kuanzia hapo kesho baada ya mazungumzo baina yao na uongozi wa kaunti hiyo kukosa kuzaa matunda.

Viongozi hao ambao walikuwa wametoa ilani ya mgomo wiki jana, wanasema serikali imekosa kuangazia maslahi yao ikiwemo mishahara na ulipaji wa makato yao ya kila mwezi.

Aidha, wamelalamikia kufanya kazi katika mazingira magumu kutokana na ukosefu wa dawa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MGOMO WA WAUGUZI TAITA TAVETA WANUKIA

MBEGU, MBOLEA GHUSHI HATARI- WATAALAMU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *