#Local News

EDDY OKETCH AKASHIFU HATUA YA RUTO KUFANYA MJI WA BUNGOMA MJI MKUU

Seneta wa Migori Eddy Okech amepuuzilia mbali ahadi yar ais Wiliiam Ruto kwamba  mji wa Bungoma utafanywa kuwa jiji.

Akihutubu eneo la Busia okech amesema kwamba rais anapaswa kukoma kutoa ahadi asizoweza kutimiza na badala yake kufanya miradi ya maendeleo yatakayoimarisha uchumi na maisha ya wananchi.

Imetayarishwa na Janice Marete

EDDY OKETCH AKASHIFU HATUA YA RUTO KUFANYA MJI WA BUNGOMA MJI MKUU

KURIA AWASUTA VIONGOZI WANAOUNGA ONE MAN ONE

EDDY OKETCH AKASHIFU HATUA YA RUTO KUFANYA MJI WA BUNGOMA MJI MKUU

KHRC YAIBUA WASI WASI KUHUSU WAADHIRIWA WA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *