‘MAANDAMANO YA PUNDA’ LAMU

Wakazi kisiwani Amu kaunti ya Lamu wameendeleza maandamano dhidi ya mswada wenye utata wa kifedha wa mwaka 2024, wakati huu wakitumia punda kuandamana wakitoa lalama zao kuhisiana na mswada huo.
Wakati wa maandamano hayo, wakazi hao wamehofia kukamndamizwa kiuchumi iwapo mswada huo utapitishwa, na kuwakosoa wabunge wao waliopiga kura ya ndiyo na kupitishwa mswada huo kwa awamu ya marekebisho.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa