#Local News

KENYA YATAMAZAMIA KUIMARISHA USHIRIKIANO WA KIUCHUMI NA UCHINA

Kenya inatarajia kuimarisha uhusiano wake wa kiuchumi na uchina huku rais william ruto akiongoza ujumbe kwenye mkutano wat isa wa baraza la ushirikiano kati ya kati ya uchina na afrika.

Kenya na uchina pia zinalenga kuafikianakuhusu msaada wa maendeleo ya miundo mbinu ikiwa ni Pamoja na ujenzi wa barabara za mashambani , mfumo wa usafiri jijin I Nairobi Pamoja na kuhitimisha mijadala kuhusu miradi mipya ya ushirikiano kama vile upanuzi wa SGR.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *