#Local News

UFICHUZI MPYA KWENYE KESI YA REX

Kesi kuhusu mauaji ya kijana Rex Maasai imechukua mwelekeo tofauti, baada ya mahakama kufahamishwa kwamba risasi iliyomwua haikufyetuliwa na bastola yoyote kati ya 3 zilizowasilishwa na mamlaka ya IPOA kwa uchunguzi katika maabara ya DCI.

Kulingana na mtaalamu wa udadisi wa silaha katika maabara ya DCI Alex Mwandawiro, hayo yameiweka kwenye njia panda ripoti iliyochukuliwa kama ushahidi katika kesi hiyo.

Aidha, ametofautiana na ripoti ya aliyekuwa kamanda wa polisi wa kituo cha Central Doris Mugambi kwamba risasi za raba pekee ndizo zilitumika katika maandamano.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UFICHUZI MPYA KWENYE KESI YA REX

JIANDAE KWA MVUA KUBWA, UTABIRI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *