UTEUZI WA MAKAMISHNA WA IEBC WAANZA
Zoezi la kuwahoji wawaniaji wanaotaka kuwa makamishna wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC limeanza hii leo, ikiwa ni siku moja baada ya mahojiano ya wawaniaji wa uwenyekiti wa tume hiyo kukamilika.
Wa kwanza kuhojiwa hii leo ni Abduba Molu, akisisitiza haja ya tume hiyo kuwa uhuru na kutekeleza majukumu yake bila miingiliano ya kisiasa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































