“MNADANGANYWA!”- MUTURI AMSUTA RUTO
Kutimuliwa kwangu kutoka baraza la mawaziri kulitokana na msimamo wangu kuhusu visa vya utekaji nyara na mauaji ya kiholela nchini na wala si kushindwa na majukumu jinsi mnavyoambiwa.
Ndiyo kauli ya aliyekuwa waziri wa utumishi wa umma Justin Muturi, akizungumza na wanahabari siku moja baada ya kuondoka rasmi afisini, akiendelea kukosoa visa hivyo.
Muturi amemtaka Rais William Ruto kuwajibikia uhalifu huo.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































