#Local News

ODM: BABA YUKO SAWA

Uongozi wa chama cha ODM umewataka viongozi wa kisiasa kukoma kutumia suala la afya ya kinara wa chama hicho Raila Odinga katika majukwaa ya kisiasa.

Wakiongozwa na katibu mkuu Edwin Sifuna, manaibu wa kinara Abdulswamad Nassir na Godfrey Osotsi, vionghozi hao wameshikilia kwamba Odinga yuko sawa kiafya kinyume na madai ya baadhi ya viongozi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM: BABA YUKO SAWA

DENI KUATHIRI MASOMO YA GREDI YA 10

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *