#Local News

MTU MMOJA AMEFARIKI NA WENGINE 3 KUJERUHIWA KATIKA AJALI BARABARA YA KAGIO-BARICHO

Mtu mmoja amefariki na wengine watatu kujeruhiwa katika ajali ya barabara eneo la Thumaita Kagio-Baricho huko Ndia, Kaunti ya Kirinyaga.

Kulingana na Kamanda wa Polisi wa Kaunti Ndogo ya Kirinyaga Magharibi (Ndia) Moses Koskei, ajali hiyo imetokea wakati gari hilo lilibingiria mara kadhaa kabla ya kutua kwenye mtaro.

Kulingana na mkuu wa polisi, gari hilo lilikuwa likiendeshwa na muuguzi katika Kituo cha Afya cha Baricho.

Imetayrishwa na Janice Marete

MTU MMOJA AMEFARIKI NA WENGINE 3 KUJERUHIWA KATIKA AJALI BARABARA YA KAGIO-BARICHO

“MAANDAMANO KAME” NCHINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *