WANAOPINGA UTEUZI WA WANACHAMA WA ODM KUWA MAWAZIRI NI WACHOYO
Baadhi ya viongozi wa chama cha ODM kaunti ya Transnzoia wamewasuta viongozi wa mrengo wa azimio wanaopinga kuteuliwa kwa baadhi ya wanachama wa chama hicho katika baraza jipya la mawaziri.
Viongozi hao wanasema kuwa kinara wa azimio Raila Odinga amejumuisha baadhi ya Viongozi katika baraza hilo kama njia moja ya kuafikia ugavi sawa wa raslimali za taifa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































