#Local News

SERIKALI IMEWASALITI WAKENYA; OMANGA MILLICENT ASEMA

Aliyekuwa Seneta mteule Millicent Omanga sasa anasema kuwa kuongeza mishahara ya maafisa wa serikali wakati huu sio nzuri.

Katika taarifa yake Omanga amesema kutokana na msukosuko wa sasa wa kutaka mishahara hiyo ipunguzwe, ni sawa na kuwasaliti Wakenya.

Omanga aidha amesema kuwa Wakenya hawafai kudanganywa na viongozi kila mara huku akisisitiza kwamba wanachotaka wananchi kwa sasa ni mishahara ya maafisa wa serikali kupunguzwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *