#Sports

MOMBASA UNITED WAONYESHA MAKALI NSL

Klabu ya Mombasa United imeendeleza rekodi yake ya matokeo ya kuridhishwa katika ligi ya NSL, baada ya kuandikisha ushindi wa mabao 2:1 dhidi ya Fortune Sacco kwenye uwanja wa Mbaraki jijini Mombasa.

Mombasa walichukua uongozi katika dakika ya 15 kupitia kwa Emmanuel Gabriel licha ya kukabwa kwa kipindi kirefu na wageni wao, shinikizo zilizosababisha beki wao Felix Ochieng kujifunga.

Hata hivyo, United walirejesha uongozi wao kunako dakika ya 65 kupitia kwa Nehemiah Onchiri.

Imetayarishwa na Nelson Andati

MOMBASA UNITED WAONYESHA MAKALI NSL

GOR WATAMBA, KCB YATAPA

MOMBASA UNITED WAONYESHA MAKALI NSL

HAALAND AWAKA MOTO EPL

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *