#Local News

KeNHA KUFUNGA BARABARA ENEO LA GITARU, KIAMBU

Shughuli za usafiri zimeratibiwa kutatizika kwenye barabara kuu ya Nakuru kuelekea Nairobi Jumatano ijayo, baada ya mamlaka ya barabara kuu KeNHA kutangaza kwamba itafunga barabara hiyo katika eneo la Gitaru kaunti ya Kiambu ili kuruhusu ujenzi wa Gitaru interchange.

Kupitia taarifa, KeNHA imesema magari yanayotokea upande wa Nakuru yatachukua barabara ya Regen/Magara na kujiunga na barabara ya Southern Bypass.

Tangazo hili limejiri muda mfupi baada ya watu 10 kuaga dunia katika eneo la Gitaru, madereva wakiilaumu KeNHA kutokana na ajali hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KeNHA KUFUNGA BARABARA ENEO LA GITARU, KIAMBU

MIAMBA WA RAGA KENYA KWENYE NUSU FAINALI

KeNHA KUFUNGA BARABARA ENEO LA GITARU, KIAMBU

WAZAZI WAWATAKA WALIMU KURUDI SHULENI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *