KENYA YATAKA IMF KUFANYA TATHMINI YA UONGOZI NA UFISADI NCHINI
Kenya imelitaka shirika la kimataifa la fedha IMF kufanya tathmini rasmi ya matatizo ya uongozi na ufisadi nchin kenya.
Akizungumza wakati wa kufungua rasmi mkutano wa KRA 2024 Waziri mkuu Musalia Mudavadi amesema kuwa ukaguzi wa usimamizi wa IMF unatarajiwa kuonyesha iwapo ufisadi unasababisha kupunguzwa kwa mapatoau matatizo mengine katika fedha ya umma.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































