#Local News

UGONJWA TATA KISII WAANZA KUBAINIKA

Huenda suluhu likapatikana kwa ugonjwa usiojulikana ambao umezua hofu katika katika eneo la South Mugirango kaunti ya Kisii, bada ya uchunguzi kuuhusisha na maji machafu.

Kupitia taarifa, katibu katika wizara ya afya Mary Muthoni amesema uchunguzi wa sampuli zilizokusanywa zimeonyesha uwepo wa kinyesi kwenye mojawapo ya visima vya maji eneo hilo.

Huku akisema uchunguzi unaendelea, Muthoni amewataka wakazi kusitisha matumizi ya maji kutoka kwenye kisima hicho.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UGONJWA TATA KISII WAANZA KUBAINIKA

RAIS RUTO AMWOMBOLEZA MALULU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *