#Local News

MUUNGANO WA KNUT BUSIA WATANGAZA MGOMO

Chama cha walimu KNUT tawi la Busia kimewaonya wanachama wake dhidi ya kuripoti kazini tarehe 26 agosti wanafunzi watakaporejea shuleni kwa muhula wa tatu kufuatia hatua ya serikali kutotimiza matakwa yao.

Katibu mkuu wa KNUT tawi la Busia Patrick Mulumba anasema kuwa kwa kauli moja wamekubaliana kutorejea kazini hadi pale serikali itatekeleza matakwa yao kama vile kuwaajiri walimu wa sekongdari ya msingi JSS kwa mikataba ya kudumu na pensheni.

Imetayarishwa na Janice Marete

MUUNGANO WA KNUT BUSIA WATANGAZA MGOMO

AFARIKI KWA DAU YA MIA TATU HUKO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *