#Local News

KAMATI 7 YABUNIWA KUTENGEZA SRC

Rais William Ruto amebuni kamati yenye wanachama 8 watakaohusika katika kuwasajili makamishna wa tume ya kuratibu mishahara ya wafanyakazi wa umma SRC, baada ya muhula wa miaka 6 wa makamishna waliokuwepo kutamatika.

Wanakamati hao Joshua Wambua, Patrick Mtange, Monica Sifuna, Quresha Abdullahi, Amos Gathecha, Mary Kimonye, Lawrence Kibet na Samuel Kaumba.

Mwenyekiti wa sasa Lynn Mengich na makamishna hao 7 waliingia afisini mwaka 2018 na kisheria kwa makamishna wanaohudumu katika tume za kikatiba na afisi huru hawaruhusiwi kuongezewa muhula mwingine.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KAMATI 7 YABUNIWA KUTENGEZA SRC

RUTO AANZISHA MCHAKATO WA KUBUNI IPOA

KAMATI 7 YABUNIWA KUTENGEZA SRC

LENOLKULAL ROHO MKONONI HUKUMU IKINUKIA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *