#Local News

ACHA LALAMA MTOE SULUHU, SERIKALI

Viongozi wanaoegemea mrengo wa Kenya Kwanza wamewataka wenzao wa upinzani kusitisha shutuma dhidi ya serikali na badala yake kushirikiana ili kutatua changamoto zinazolikabili taifa.

Miongoni mwa viongozi hao ni naibu rais Kithure Kindiki, akizungumza kwenye kikao na mamia ya vijana nyumbani kwake katika kaunti ya Tharaka Nithi.

Kindiki amewahakikishia vijana kuwa serikali inaendelea na mikakati ya kupata suluhu kwa matatizo yanayowakumba vijana.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ACHA LALAMA MTOE SULUHU, SERIKALI

WAHUDUMU WA UHC WAPATA AFUENI

ACHA LALAMA MTOE SULUHU, SERIKALI

KENYA POLICE WAZAMISHA GARDE YA DJIBOUTI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *