CHANGAMOTO ZA MDHIBITI WA BAJETI
Uhaba wa fedha katika afisi ya mdhibiti wa bajeti ya serikali ndicho kikwazo kikubwa katika utendakazi wa afisi hiyo.
Haya ni kwa mujibu wa mdhibiti wa bajeti hiyo Margaret Nyakang’o, akiwa mbele ya kamati ya fedha katika bunge la seneti ambvako amesema mara nyingi hulazimika kutekeleza nusu ya majukumu.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































