WANAFUNZI 900 WASOMEA CHINI YA MTI KUFUATIA MAPOROMOKO YA MADARASA BUNGOMA
Zaidi ya wanafunzi 900 katika shule ya msingi ya Masuno eno bunge la Bumula kaunti ya Bungoma wanalazim ika kusomea chini yha miti baada ya madarasa yao kuporomoka.
Katika kikao na wanahabari naibu wa mwalimu mkuu wa shule hiyo john barasa , amewataka wahisani kuwasaidia kujenga madarasa mengine akisema kwamba , majengo yaliyoporomoka yalijengwa katika enzi za wakoloni na yalikuwa hatari kwa wanafunzi.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































