#Local News

EGP AU MWONDOKE, RUTO

Wakati uo huo, mzozo kati ya baraza la magavana na serikali kuu kuhusu matumizi ya mfumo wa ununuzi wa kielekroniki umeendelea kutokota, Rais William Ruto akisisitiza kuwa mfumo huo utatekelezwa kwa lazima.

Akizungumza katika hafla ya kanisa kwenye kaunti ya Siaya, Rais Ruto amewataka maafisa wote wa ununuzi wanaopinga matumizi ya mfumo huo kujiuzulu.

Msimamo wa rais ukisisitizwa na viongozi waliokuwa wameandamana naye.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

EGP AU MWONDOKE, RUTO

MAGAVANA KUJADILI EGP JUMATATU

EGP AU MWONDOKE, RUTO

IKULU KITOVU CHA UFISADI- GACHAGUA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *