#uncategorized

RAILA: NIKO NA RUTO HADI 2027

Nitamuunga mkono Rais William Ruto hadi akamilishe muda uliobaki wa muhula wake madarakani kufikia mwaka wa 2027.

Ni kauli ya kinara wa ODM Raila Odinga, akizungumza kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga nchini ambako amesisitiza kuwa hakuna mazungumzo kati yake na chama cha UDA kuhusu uchaguzi mkuu ujao.

Amesema ushirikiano wake wa kisiasa na UDA ulilenga kumaliza taharuki nchini, na kuahidi kuwa waathiriwa wa maandamano wataanza kupewa fidia hivi karibuni.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAILA: NIKO NA RUTO HADI 2027

MWANGI KUFIKA MAHAKAMANI KAHAWA

RAILA: NIKO NA RUTO HADI 2027

SHIDA HAZIANZI LEO, MBADI ASEMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *