KEMSA YATAMBUA KAUNTI 11 BORA
Mamlaka ya KEMSA imetambua kaunti 11 ambazo zimeipa sekta ya afya kipau mbele katika bajeti zake.
Kaunti hizi ni pamoja na Machakos,Kitui,Elgeyo Matakwet,Nyeri,Meru,Narok,Kisumu Busia Mandera na Turkana.
Afisa mkuu mtendaji wa KEMSA Dkt Waqo Ejersa anasema kaunti hizo zimetenga fedha za kutosha kwa ununuzi wa dawa na vifaa vingine vya matibabu kutoa malipo yao kwa kwa wakati unaofaa.
Imetayarishwa na Maureen Mukhobe
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































