WAATHIRIWA WA MAFURIKO NYANDO WALILIA MSAADA
Waathiriwa wa mafuriko katika eneo la Nyando kaunti ya Kisumu wamelalamikia mazingira duni kwenye kambi ambamo wamekuwa wakiishi tangu mwaka 2019 baada ya nyumba za kusombwa na mafuriko.
Miongoni mwa changamoto zao ni ukosefu wa mahitaji ya kimsingi wanayosema umeathiri wanao hasa wenye umri mdogo, Pamoja na akina mama wajawazito.
Wameitaka serikali kuingilia kati ili kudhibiti athari za mafuriko.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































