#Local News

MSHUKIWA KOROKORONI, WAKAZI WALALAMIKIA UNAJISI BUSIA

Mshukiwa mmoja wa unajisi raia wa Uganda anatarajiwa kufikishwa mahakamani hii leo baada ya kukamatwa na polisi kwa madai ya kunajisi moto mchanga mwenye umri wa miaka 3 katika eneo la Butula kaunti ya Busia.

Kulingana na OCPD wa eneo hilo Hellen Rotich, mshukiwa amekuwa akifanya kazi katika boma moja kama mfanyakazi wa nyumbani.

Haya yanajiri huku wakazi wakilalamikia ongezeko la visa vya unajisi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MSHUKIWA KOROKORONI, WAKAZI WALALAMIKIA UNAJISI BUSIA

4 WAFARIKI KWENYE AJALI MIGAA, NAKURU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *